Friday, September 3, 2010

Na mimi nimo


Kompyuta ni kifaa changu cha kazi. Ninakitumia sana karibu kila siku. Moja ya mzigo wangu nilipokuwa nakuja huku Pretoria ni kompyuta. Kwenye warsha hii ya Habari na Mawasiliano nimetumia sana kompyuta ni imenifanya kuwa ndani ya warsha ni siyo nje!

No comments: