Wednesday, September 1, 2010

Mawazo ukutani


Kila mshiriki anatoa mawazo yake kwa kila mada. Baadaye tunakaa pamoja na kutafakari na kupata kitu kizuri ndivyo tunavyojenga mkakati wa Habari na Mawasiliano kwa nchi wanachama wa SADC. Leo ni siku ya tatu.

No comments: