Thursday, September 2, 2010

Siko peke yangu


Siko peke yangu katika warsha hii. Nipo na wataalamu wawili wa Habari na Mawasiliano kutoka Idara ya Utafiti na Maendeleo, Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika nao ni Dr.Janet Kaaya na Vidah Mahava.

No comments: