Friday, September 3, 2010

Nilivyojitambua


Kuna wakati kwenye moja ya kikundi tulitakiwa kujichora na kujieleza bila kujali wadhifa wako na utaalamu wako. Hivi ndivyo nilivyojitambua.Hii inasaidia kuvunja ukimya kwenye kikundi na pia kumuelewa mtu kwa kiasi fulani na kuwa wavumilivu la sivyo mnaweza kushikana mashati wakati wa kutoa mawazo kwa sababu kila mmoja anataka asikilizwe.Isitoshe wengine ni ving'ang'anizi kila kitu wanataka wafanye wao na wengine hawajionyeshi kirahisi lakini wana uwezo mkubwa.

No comments: