Tuesday, September 21, 2010

Bibi alizikwa na mapadre wa dunia nzima!




Nakumbuka niliisema hii katika kutoa shukrani za wanandugu kuwa,Baba yangu mdogo anaweza kusema kuwa mama yake amezikwa na mapadri wa dunia nzima. Pengine utasema si kweli. Lakini inawezekana kuwa na ukweli fulani, kwani walikuwepo mapadri wengi sana (idadi sijui) maaskofu wa majimbo wawili na uwakilishi wa papa pia ulikuwepo. Kwa hiyo ni sahihi kusema kuwa bibi alizikwa na mapadri wa dunia nzima. TUMSIFU YESU KRISTU.

No comments: