Thursday, September 2, 2010

Tumekwenda na vitendea kazi


Si Malawi tu hata wataalamu kutoka Tanzania tulikwenda na vyombo vya kisasa vya kupashana habari na kuwasiliana. Pichani Vidah yuko busy na kompyuta anaandaa points kwa ajili ya kuchangia kwenye mijadala inayoendelea.

No comments: