Tuesday, August 31, 2010

Tumeshika kadi za bluu hakuna kulala


Nipo Afrika ya Kusini kwa warsha inayohusu habari na mawasiliano katika kilimo. Hapa kweli tuko kwenye w/shop ili tutoke na meza au stool. Hakuna kulala. Pichani nipo kwenye kundi la bluu tumepewa kazi tunatakiwa kutoa majibu lazima tuchonge stool! Maarifa hayaji hivi hivi hakuna kulala

No comments: