Wednesday, August 4, 2010

John Waziri ashinda Kichangani


Habari za uhakika ambazo Banzi wa Moro imezipokea muda mfupi uliopita zinaeleza kuwa John Raphael Waziri ameshinda katika kura za maoni za kumpta mgombea wa kiti cha Udiwani kata ya Kichangani, Manispaa ya Morogoro. John ambaye ni mtoto wa mkulima kutoka Matombo, Morogoro na mkazi wa Kichangani katika manispaa hiyo amewabwaga wapinzani wake kwa tofauti ya kura nyingi.

No comments: