Wednesday, August 4, 2010

Hakuna sababu ya kuogopa HISABATI


WANAFUNZI walio wengi wanaogopa hesabu kwa sababu hawapati msingi mzuri. HISABATI si somo gumu kama mwanafunzi atafundishwa na mwalimu anayejua kufundisha na kulielewa somo la hesabu.Ili uweze kukotoa vizuri lazima ufahamu kanuni za hesabu. HESABU HUENDA NA KANUNI (FORMULAE)!

No comments: