Thursday, August 19, 2010

HONGERA YANGA!


Kama kuna siku wanayanga wamefurahi basi ni ya jana. Yanga imeweza kuishinda Simba Sports Club watoto wa Msimbazi kwa penati 3-1 na kubeba ngao ya Hisani. Lakini Asamoah kutoka Ghana hakufurukuta na ilibidi atolewe na kocha wake Papic. Ndo mpira!

No comments: