Wednesday, August 4, 2010

Rasimu ya Katiba Mpya majibu leo Kenya


KUNA makundi makubwa mawili nchini Kenya kuhusu mabadiliko ya Katiba ya KENYA kuna wale wanaosema NDIYO na wale wanaosema HAPANA. Makundi haya yanapigiwa debe na vigogo wakubwa wawili Kibaki kundi la NDIYO na lile linalosema "NO" linapigiwa debe na aliyewahi kuwa Rais wa Kenya Daniel Troitch Arap Moi. Makundi haya yanapigana vijembe kweli kweli kuna mawaziri wa Serikali ya Moi wanaoipinga Rasimu ya katiba hiyo pia.

No comments: