Tuesday, August 3, 2010

Shule Je?


Mvulana huyu alitakuwa kuwa shuleni kama si Sekondari basi Msingi lakini amekuwa mmachinga wa karanga za kukaanga. Je, biashara hii ni ya kwake au ametumwa? Kweli biashara hii itamkwamua. Sidhani. Na kama ndivyo basi biashara hii iboreshwe zaidi, angalia karanga zilivyotungwa kweli hazivutii kuzinunua. Elimu ya biashara ni muhimu pia.

No comments: