Tuesday, August 3, 2010

Phiri arejea Msimbazi


Kazi kwisha mwanangu, Phiri ametua Msimbazi ili aje awauwe watu. Si unaujua mchakamchaka wake ni pointi tatu kutoka mwanzo! Je, watani watatoka tarehe 14 Agosti. Hebu muone mzee wa mipango Nyange a.k.a Kaburu. Si ndo amekwenda kumpokea Phiri kule Ukonga.

No comments: