Tuesday, August 3, 2010

Safari ya Dutumi


Bado kuna shida ya usafiri kutoka Morogoro kwenda Dutumi. Picha hii imepatikana kwenye gazeti la Mwananchi la leo likielezea kuwa wasafiri wakipanda lori kutoka Mtamba, Morogoro kwenda Dutumi. Mbunge atakayechaguliwa wa jimbo la Morogoro Kusini ana kazi ya kuhakikisha kuwa anaboresha miundombinu ya usafiri kwenye jimbo lake.

No comments: