Tuesday, August 3, 2010

Huyu ndiye aliyemshinda Mzee Malecela


Kama ufahamu, Livingstone Lusinde ameweza kumbwaga mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Mtera Mhe. John Malecela kwenye kura za maoni zilizofanyika Jumapili iliyopita.Unatakiwa kuthubutu tu. Tusiogope.

No comments: