Wednesday, August 4, 2010

Ilipasa kuchunguza kadi kwa makini


Inasemekana kuwa kadi nyingi za wanachama wa CCM walikwenda kupiga kura za maoni kuwapata wagombea wa CCM walikuwa na Kadi mpya itawezekana wapi wengi wanachama wajiunge mwaka huu ndo maana ilibidi kuchunguza kadi kwa makini.

No comments: