Friday, October 22, 2010

Wataalamu wa kilimo wajadili habari za udongo


Hivi karibuni wataalamu wa kilimo wapatao 15 wengi wakiwa ni watafiti walikutana jijini Dar Es Salaam kupata taarifa ya Mradi wa Afsis wenye lengo la kukusanya na kusambaza taarifa za udongo barani Afrika zitakazorahisisha kutoa maamuzi sahihi ya matumizi ya udongo katika kilimo ili kuongeza tija na kuongeza kipato cha wakulima.

No comments: