Thursday, October 21, 2010

Walijionea wenyewe


Mambo ya Kimbiji yalikuwa makubwa, wajasiriamali kutoka Halamashauri za Wilaya za Temeke, Ilala na Kinondoni walileta bidhaa mbalimbali za vyakula vilivyoongezwa samaki. Hata sambusa zilipatikana hapohapo!

No comments: