Thursday, October 28, 2010

Kanisa la Kigurunyembe


Kanisa hili lipo kwenye eneo kilipo Chuo cha Ualimu Kigurunyembe. Chuo hiki kina historia muhimu ya nchi hii inayohusu Elimu. Walimu wengi wamepitia chuoni hapa. Kilichonishangaza kwenye chuo hiki ni uchakavu wa miundo mbinu yake. Licha ya kujengwa mahali pazuri na plan nzuri. Miundombinu ni chakavu kwelikweli. Kwa wale wanaoifahamu Kigurunyembe ya wakati huo walisikitika kuona kuwa chuo kimekwisha. Kuna haja ya kuanza kukikarabati chuo hicho na kurudia enzi zake za zamani.

1 comment:

Lilian said...

I lived in Kigurunyembe around 1974. I would like to know what developments have occured since then. I would also like to see some pictures of the area: the street leading to teachers college, the buildings, the primary school, vijiji vya ujamaa etc.

thanks