Thursday, October 21, 2010

Wizara ya Mifugo na Uvuvi walikuja na Kamba kochi


Si wengi wanaofahamu samaki ajulikanaye kwa jina la kamba kochi. Anafanana sana na kamba lakini ni mkubwa zaidi ya kamba. Kutokana na maelezo ya wataalamu inasemekana kuwa samaki huyo ni mtamu sana na ana proteini nyingi. Wakati mwingine ukitaka kununua samaki ulizia kamba kochi. Pichani kulia ni kamba kochi aliyegandishwa.

No comments: