Friday, October 22, 2010

Mjue Askofu Libena


Askofu Salutaris Melchior Libena alizaliwa tarehe 23 Nov 1963 Itete,Mahenge,mkoani Morogoro, alipata daraja la upadri tarehe 29 June 1991 akiwa na umri wa miaka 27. Mwaka 2010 Januari, 28 aliteuliwa kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam, Tanzania na alisimikwa rasmi daraja la Uaskofu tarehe 19/3/2010 ni mmoja kati ya Maaskofu vijana, Tanzania.

No comments: