Saturday, July 9, 2011

Choo cha Bandarini-Malindi Unguja


Pamoja na mambo mazuri niliyovutiwa nayo nikiwa Unguja hivi karibuni. Choo kile cha bandarini Malindi hakikunipendeza hata kidogo. Pamoja na watalii wengi wanaoingia Zanzibar iweje hapo bandarini kuwepo na huduma ya choo ambacho si cha kiwango?

No comments: