Tuesday, July 5, 2011

Maandamano Parokiani-Vikindu Jimbo kuu la Dar Es Salaam



Sakaramenti hiyo twaiabudu kifudifudi na sheria za zamani zikomeshwe na hiyooo. Yafichaikayo machoni imani huyaona. Wimbo huu ni maarufu sana siku ya Sikukuu ya Ekaristi Takatifu nilianza kuiimba nikiwa katika Parokia ya Mt.Paulo Matombo,Morogoro.

No comments: