Saturday, July 9, 2011

Karafuu za Zanzibar


Karafuu ni zao maarufu visiwani Zanzibar has kisiwa cha Pemba. Japokuwa ni maua madogo ya kutoa harufu ya kuvutia ambayo hutumiwa kama viungo na hata manukato. Miti ya karafuu ni mirefu na wakati mwingine wakati wa kuvuna ajali hutokea kwa mvunaji kuanguka kutoka kwenye mkarafuu.Pichani ni mikarafuu ya Kizimbani, Unguja.

No comments: