Tuesday, July 5, 2011

Tunapokea mahali



Baba alipokea chake, mama alipata mkaja wake, babu alipata kichana ndevu, shoka na panga pia ni baadhi ya vitu vya posa. Dada Vicky Mdimi alipokea fedha kwa niaba ya familia na kaka mtu Kamsopi Mdimi alipokea shoka na panga na baadaye kukabidhiwa wahusika. Akina Ngowi walilijizatiti kweliwkeli. Kilichofuata .........

No comments: