Saturday, July 9, 2011

Utafiti wa Soya

Moja ya tafiti zinzofanyika katika Kituo cha Utafiti wa Kilimo, Uyole - Mbeya ni kupata aina za mbegu bora za soya. Soya ni chanzo kizuri cha protini ambayo ni muhimu kwa afya ya binadamu.

No comments: