Saturday, July 9, 2011

Hilo ndilo Doriyani


Kwa mara ya kwanza kutembelea kisiwacha Unguja mwishoni mwa mwezi wa sita mwaka huu, pale Kizimbani niliweza kuliona tunda la Doriyani. Tunda hili lina harufu kali. Limefanana kidogo na fenesi lakini si kubwa sana.

No comments: