Friday, July 1, 2011

Kwetu sisi ndizi ni kitafunwa tu


Kwa wenyeji wa Morogoro kawaida ndizi huliwa zikiwa mbivu au kama vitafunwa (kwa kunywea na chai). Huwezi ukapikiwa ndizi halafua ukasema kuwa leo nimekula chakula. Hata kama watachanganya na nyama bado ni vitafunwa tu. Chakula cha heshima kwetu ni wali! Angalia mikungu ya ndizi nyuma ya nyumba - Kola, Morogoro mjini.

No comments: