Friday, July 1, 2011

Pikipiki inapovaa 'helmet'



Kwa kawaida waendesha pikipiki wanatakiwa kuvaa helmet (kofia za kujikinga na kichwa) waendeshapo vyombo hivyo. Banzi wa Moro ilinyaka scene hii pale Kola-Morogoro wakati mwendesha pikipiki alipodondosha helmet na baadaye kuifunga nyuma ya pikipiki. Angalia picha pmbili ya juu na kushoto.

No comments: