Tuesday, July 5, 2011

Kilichofuata ni hafla ya 'engagement'



Nikueleze?Baada ya kupata mkwanja wa kutoka ..... Kuna nini tena! Ilikuwa ni hafla fupi ya 'engagement'Wahusika walijitokeza hadharani. Kulia ni dada Anna na kushoto ni shem wetu Mlaki. Aliyeshika microphone ni Banzi wa Moro.Hapa sasa ni mshereheshaji.Wakati wa kutoa mahali nilikabidhiwa jukumu na familia kuendesha mchakato wa kutoa na kupokea posa.Waandishi wa habari wa vyombo vyote hapa nchini walishuhudia tukio hili.

No comments: