Saturday, July 9, 2011

Utafiti wa zao la muhogo unaendelea Zanzibar.


Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Kizimbani-Zanzibar ndiyo yenye jukumu la kufanya utafiti kisiwani humo. Nilipotembelea Taasisi hiyo hivi karibuni. Majaribio ya mbegu za muhogo zinaendelea kufanyiwa utafiti ili kuweza kupata mbegu bora inayostahimili magonjwa ya muhogo.

No comments: