Tuesday, July 5, 2011

Karibuni!



Siku ya Jumapili tarehe 3/7/2011. Familia ilipokea posa ya dada yetu Ana Mdimi anayeolewa na Bw. Pichani shangazi anagalagala chini kwa mila na taratibu za kimanda mpaka afichuliwe na wakwe ndipo wakaribishwe!

No comments: