Saturday, April 17, 2010

Hizi ndizo athari za mabadiliko ya hali ya hewa


Ukame uliokithiri-Wanyama kufa, mazao kuzaa kiaina aina hivi (hebu angalia gunzi la mhindi). Pamoja na mafuriko si kwa Tanzania tu. Majanga haya hutokea sehemu mbalimbali za dunia yetu. Hili ni tatizo kwa maisha yetu sisi wanadamu. Tanzania tunalionaje hili. U tayari wetu upo wapi au hatuoni? Mafuriko ya Kilosa hivi karibuni ni moja ya athari za mabadiliko ya hali ya hewa.

No comments: