Friday, April 23, 2010

Si rahisi kugundua albino mzungu

Hao weupe wawili kushoto kwako ni albinos kiswahili fasaha ya jina hilo sifahamu (mtanisamehe). Albinos hawa ni ndugu na wametoka Canada. Ona walivyowatanashati mbona huwezi kugundua kama walemavu wa ngozi. Katikati ni Vicky Mtetema Mkurugenzi Mtendaji Habari na Mausla ya Kimataifa wa Shirika linaloshughulikia uhamasashaji na utetezi Jamii, kuhusu ulemavu wa ngozi nchini (UTSS) akisaidia kuwatafsiria lugha albino hao wakati wa uzinduzi wa filamu inayoonyesha ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi ulifanyika jijini Dar Es Salaam hivi karibuni. Albinos wetu wakipatiwa huduma muhimu wanaweza kuwa kama hawa.

No comments: