Saturday, April 17, 2010

Kutoka ufugaji hadi kilimo cha mahindi


Lazima twende na mabadiliko. Wamasai hwa kutoka wilaya ya Ngorongoro wameamua kulima mahindi mwaka huu baada ya mifugo yao mingi kufa kutokana ukame uliyoikumba sehemu za wilaya yao msimu uliopita. Utamaduni haujasahaulika hata shambani!

No comments: