Saturday, April 17, 2010

Ndizi tamu kutoka Morogoro



Msichana mrembo amejitwikwa kitenga cha ndizi tamu za malindi kutoka milimani Morogoro kwenda kuuza mjini Morogoro. Tusiache aina hizi za ndizi zikapotea. Tuwezeshe watafiti waweze kutunza aina hizi za ndizi na kuzizalisha kwa wingi. Utajiri ndiyo huu. Licha ya kuliwa kama tunda, ndizi zinaweza kutengenezwa vinywaji vya aina mbalimbali.

No comments: