Saturday, April 17, 2010

Mpaka bargashia idonndoke


Mambo yameanza kuiva pilika pilika za uchaguzi mwaka 2010 zimeanza kuna wanaojiandaa kwa vyombo vya usafiri, kuna wanaochapisha kanga, vitenge na fulana na kuna wanaojiptisha vilabani na kutoa ofa za kangala. Poa, mpaka kieleweke. Tutajinadi hadi kieleweke kama inavyoonekana pichani. Tukishapata. 'Business as usual'!

No comments: