Tuesday, April 20, 2010

Kilwa Road yetu

Wakati mwingine huwa najiuliza 'tumerogwa'? Sipati jibu. Barabara ya Kilwa haina hata miaka mitano toka ijengwe upya. Hebu angalia mtaro ulivyogeuzwa dampo. Fikiria huo ni msaada kutoka JAPAN. Hivi wanatuelewa?

No comments: