Saturday, April 17, 2010

Nilitingwa na kazi



Ni muda mrefu sijatumbukiza chochote ndani ya Banzi wa Moro. Wasomaji wa blog hii wamenikosa kwa muda mrefu. Poleni sana kwa usumbufu. Ukweli ni kwamba nilitingwa na kazi za ofisini hivyo kukosa muda wa kuning'iza majambos! Sasa kazi zimepungua msikose kufungua blog hii.

No comments: