Friday, April 23, 2010

Jeuri ya Mourinho


Ukitaka kusikia ngebe za Mourinho kocha wa sasa wa Inter Milan subiri akufunge. Utasikia vibweka vyake maneno ya kajeri na mambo kadha wa kadha. Muone alivyofurahi wakati Inter ilipoifunga Barcelona mabao 3-1 mapema juma hili.

No comments: