Friday, April 23, 2010

Tuwe makini kwa maneno ya kiswahili tunayoyatumia

Hebu soma sentensi hii "Huu ndiyo usafiri wetu hakuna kulemba tunaomba utulivu" Neno kulemba halina maana hapa kwani maana ya kulemba ni kumnyang'anya mtu kwa hila au kumhadaa mtu. Kama alitaka kuandika kuremba hata hivyo maana ya kuremba ni kutia mapambo kwenye kitu ili kipendeze machoni au kupamba.

No comments: