Saturday, April 17, 2010

Wadudu wanaoshambulia mazao shambani ni hatari


Kiasi kikubwa cha mazao yetu hushambuliwa na wadudu bado yakiwa shambani. Wadudu hawa wasipodhibitiwa mapema huathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa mazao na hivyo kumpa hasara kubwa mkulima na kukata tamaa ya kuendelea na kilimo. Njia zifaazo zitumike kudhibiti wadudu mashambani. Muone mtaalamu wa kilimo aliye karibu nawe ili aweze kutoa ushauri sahihi.

No comments: