Friday, April 23, 2010

Huyu ndiye Arjen Robben


Anafunga magoli pale usipotegemea anaweza kucheza namba saba lakini akakokota gozi kwa mguu wa kushoto na kuwatoka walinzi kama wamesimama. Ukimuona kwa sura utafikiri babu hivi lakini acha bwana! Huyu ndiye aliyeimaliza Manchester United. Si mwingine bali ni Arjen Robben mshambuliaji wa Bayern Munich ya Ujerumani.

No comments: