Wednesday, May 5, 2010

Mei Mosi ya mwaka huu kulikoni?

Kwa kawaida tarehe Mosi Mei wafanyakazi duniani kote husherehekea sikukuu ya wafanyakazi. Hapa Tanzania mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kabisa kutokuelewana kati ya mwajiri hasa Serikali na Vyama vya Wafanyakazi kumewagawa wafanyakazi. Ingawa maadhimisho haya yalifanyika Kitaifa jijini Dar Es Salaam lakini kulikuwa na vikundi viwili kimoja Mnazi Mmoja na kingine Uwanja UHURU. Ndiyo maana nauliza Mei Mosi kulikoni mwaka 2010 hapa Tanzania?

No comments: