Wednesday, May 19, 2010

Tuzipende familia zetu kama afanyavyo Cameroon


Inasemekana kuwa Waziri Mkuu wa Sasa wa Uingereza Bw. David Cameroon (aliyeonyesha dole) anaipenda sana familia yake. Waziri Mkuu huyu mwenye umri wa miaka 43 ambaye amefunga ndoa na Bi. Samatha Sheffield wamebahatika kupata watoto watatu. Siajabu kumkuta Cameroon akiandaa chakula jikoni, siajabu kumuona Cameroon akiranda mitaani huku akibeba watoto wake (Angalia pichani) akiwa na mkewe. Ni vizuri kuzipenda familia zetu.

No comments: