Friday, May 7, 2010

Acha kumeza vidonge kula ndizi!


Ungejua uwezo wa ndizi usingekosa kula angalau moja kwa siku. Ndizi huupa nguvu mwili, husaidia kutibu maradhi ya kisukari, msukumo wa damu (blood pressure),kuvimbiwa,kiungulia,inaongeza uwezo wa ubongo kufanya kazi vizuri,kupunguza mfadhaiko,kuongeza damu, vidonda vya tumbo, hupunguza uzito. Jamani tule ndizi. Wakulima wa ndizi mnaona pesa hiyo nje nje!

No comments: