Monday, May 10, 2010

Unapopinga una hoja?

" ......wakati mwingine, mtu tunayempinga huwa ana makosa kweli, lakini hoja tunazozitoa ni za ki(bi) nafsi na hazihusiani kabisa na hoja zake. Nikisema mbili na tatu ni sita, nakosa. Lakini ni bora kunionesha kwamba pengine nafikiri tunazidisha kumbe tunajumlisha. Ni kweli mbili mara tatu ni sita; lakini mbili na tatu ni tano siyo sita.....Huu ni mfano wa upuuzi; lakini mara nyingi hoja tunazozitumia kuwashawishi watu wakatae mawazo yetu huwa hazihusiani kabisa na mambo tuinayojadili (Nyerere, J.K. 1962):TUJISAHIHISHE, Dar Es Salaam, National Printing Company Ltd, ukurasa wa 3)

No comments: