Friday, May 7, 2010

Wanawake wanaweza


Je unafahamu kuwa Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika ni mwanamke na anaitwa Obiageli Ezekwe (Pichani kulia). Kwa sasa yupo Dar akihudhuria Mkutano wa Kiuchumi wa Dunia kuhusu Afrika ambao unahitimishwa leo.

No comments: