Friday, May 28, 2010

Kwa mara ya kwanza Lindi wanaweza kuwa mabingwa wa Taifa Cup


Wamecheza kwa kujiamini na kuitoa timu yenye uzoefu ya mkoa wa Ilala magoli 3-0 kwa takwimu hizi na kwa ile kandanda waliyoionyesha, Lindi wanaweza kuwa mabingwa wa Taifa Cup mwaka 2010. Tumepata fundisho gani?

No comments: