Thursday, May 6, 2010

Tusije tukafanya makosa kuhusu adhabu ya kifo

Hebu fikiria mtu anamuua baba yako, mama yako, mtoto wako dada yako au binadamu yeyote yule. Halafu eti isiwepo naye kuhukumiwa adhabu ya kifo endapo atakutwa hana hatia. Tukumbuke kuwa mazingira ya Tanzania ni tofauti kabisa na nchi zilizoendelea. Kumpa kifungo cha maisha wakati ametoa uhai wa mwenzake ina maana bado mtu anaweza akaua kwa lengo la kutoa roho ya yule aliyemkusudia ili atoweke duniani. Hebu fikiria jinsi waliaachwa na yule aliyeuawa wanavyoathirika katika mazingira yetu. Tafakari.

No comments: